Nenda kwa yaliyomo

Muziki wa pop

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 21:39, 22 Aprili 2015 na Magioladitis (majadiliano | michango) (→‎Waimbaji na mabendi yanayopiga muziki wa pop: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|li}} using AWB (10903))
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)

Muziki wa pop au pop ni kifupi cha namna ya kuandika popular music au muziki mashuhuri. Muziki wa pop una hesabiwa kama mmoja kati ya muziki unaosikilizwa sana, kununuliwa sana, na kuchaguliwa sana katika matamasha maalumu. Staili za muziki wa pop ya miaka ya 2000 (leo hii) inajumlisha muzikiwa rock, hip hop, na pop punk.

Waimbaji na mabendi yanayopiga muziki wa pop[hariri | hariri chanzo]

Hii ni orodha ya baadhi ya waimbaji au mabendi yaliyoanza kuimba muziki wa pop. Baadhi yao ni: